Monday, April 25, 2011

Salam...............

Mtoto ambaye jina lake halikuweza kufahamika mara moja akimsalimia Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete muda mfupi baadaya kuwasili katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam ambapo alikuwa mgeni rasmi katika tamasha la wasanii wa nyimbo za dini lililofanyika jana.