Wednesday, April 27, 2011

Hali Ilivyo Kivuko Cha Mto Kilombero Mkoani Morogoro



Kamwene!
Kaka Maggid hizo picha ni hali ilivyokuwa kwenye kivuko cha Kilombero
Jana jioni. Hali ni mbaya kwani kuna wananchi wengine wanavuka kwa
kutumia mitumbwi na mto umejaa sana pia maji yana kasi kubwa.
Sijui kwa siku ya leo hali ikoje huko mie niko zangu Mahenge nilivuka
jana jioni kwa kiboti cha SUA ambacho kina injini nauli yake ni mia
tano tu kama Loliondo. Hebu wahabarishe na wengine HII NDIO TANZANIA
Anangisye Mwateba
Mdau Mjengwablog