Kwanini?
Jana niliingiza picha hiyo chini na kuanzisha mada juu ya harusi. Pichani chini ni harusi simple kabisa niliyoikuta kijijini Chala, Nkasi, Sumbawanga. Wanaume wengi kwenye ukurasa wangu wa facebook wametokea kuipenda sana harusi hiyo ukilinganisha na wanawake. Je, hii inamaanisha wanawake wengi wanapenda harusi za kifahari? Kama jibu ni ' Ndio', basi, kwanini?
