Saturday, April 30, 2011

Tanzania Yapigia Debe Matumizi Ya Kiswahili Umoja Wa Mataifa

Pichani ni Katibu Mkuu Msaidizi Bwa. Kiyo Akasaka anayeongoza Idara ya Habari na Mawasiliano ya Umma ya Umoja wa Mataifa, akiwasilisha Taarifa ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, kuhusu shughuli na utendaji kazi wa Idara hiyo, wakati wa mkutano wa 33 wa Kamati ya Habari ya Umoja wa Mataifa. Kulia kwake ni Balozi wa Antonio Pedro Moteiro Lima, mwakilishi wa Cape Verde katika Umoja wa Mataifa. Katika Mkutano huo, Tanzania iliisitiza kuongezwa kwa idadi ya wafanyakazi katika Radio ya Idhaa ya Kiswahili ya UM, idhaa hiyo imeelezwa kuwa licha ya kuwa na wafanyakazi wachache lakini imekuwa chombo muhimu cha mawasiliano katika utoaji wa usambazaji wa taarifa zinazohusu Umoja wa Mataifa na imejipatia umaarufu umeongezeka

Tanzania imeitaka Idara ya Habari na Mawasilliano ya Umma ya Umoja wa Mataifa

kuhakikisha kuwa inaongeza idadi ya waandishi katika Idhaa ya Radio ya Kiswahili ya

Umoja wa Mataifa ili iweze kutekeleza kwa ukamilifu majukumu yake ya ukusanyaji,

utoaji na usambazaji wa taarifa zinazohusu shughuli za umoja huo.

Tanzania imetoa wito huo wakati wa mkutano wa 33 wa Kamati ya Habari ya Umoja

wa Mataifa, ambapo pamoja na mambo mengine Kamati hiyo iliyoanzishwa mwaka

1978 ikiwa na wajumbe 113 kutoka nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa, walipokea

na kujadili taarifa ya katibu Mkuu wa Umoja wa mataifa, kuhusu utendaji wa Idara hiyo.

Akizungumza

Ubalozi Mwandamizi, Bibi Maura Mwingira amesema katika mkutano huo,

Tanzania inafarijika na kuridhishwa

Radio ya Kiswahili ya UM imeendelea kuwa kiungo mkuhimu cha mawasiliano, kupata

umaarufu na kuongeza idadi ya watumiaji wa taarifa za idhaa hiyo

ina wafanyakazi wachache.

Taarifa ya Katibu Mkuu wa UM iliyowasilishwa kwa wajumbe na Katibu Mkuu Msaidizi

anayeongoza Idara ya Habari, Bw. Akito Akasaka, imeonyesha kuwa , katika eneo la

Radio ya Umoja wa Mataifa, Radio hiyo ambayo hutoa taarifa zake katika lugha sita

rasmi za UM, na lugha mbili za Kiswahili na Kireno, imekuwa na mafanikio makubwa

ambayo pia yamehusisha ongezeko la watumiaji wa taarifa zake.

Lugha rasmi za Umoja wa Mataifa ni, Kiingereza, Kifaransa, Kiaarabu, Kirusi, Kichina

na Kihispania

Kwa upande wa Idhaa ya Kiswahili Bw. Kiyo Akasaka amesema, Radio hiyo ambayo

ilianzishwa mwaka 2006, watumiaji wa taarifa za idhaa hiyo imepanda kutoka asilimia

moja wakati wa kuanzishwa kwake hadi kufikia asilimia 21, ikiwa ni pamoja na

kuanzishwa kwa Radio Maarifa FM iliyoko Tanzania.


Haya si mafaniko madogo, ni mafanikio

anapashwa kujivunia na tunawapongeza wafanyakazi hao wawili kwa kazi kubwa na

kwa niaba ya

Balozi wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa,

na namna ambavyo lugha ya Kiswahili kupitia

licha ya kwamba

makubwa ambayo

kila mmoja wetu

nzuri wanayoifanya”. Akasisitiza Afisa Ubalozi.

Idhaa hiyo

ambazo zinawafanyakazi zaidi ya wanne.Inaongozwa na Mtanzania Bi Flora Nducha.

Ni kutokana na uchache huo wa wafanyakazi, ndio maana Tanzania imeitaka

sekretarieti ya Idara hiyo ya Habari ya Umoja wa Mataifa kuangalia uwezekano wa

kuongeza wafanyakazi .

Tanzania imewaeleza wajumbe wa Mkutano huo kuwa Lugha ya Kiswahili ambayo

inazungumzwa na zaidi ya watu milioni 200 katika eneo la Afrika ya Mashariki , Afrika

ya Kati na nje mipaka ya ya maeneo hayo, imekuwa chombo na kiungo muhimu sana

cha upashanaji wa habari hususani katika udhibiti wa migogoro na ujenzi wa amani.

Ni kutokana na umuhimu wa lugha hiyo, Tanzania imesema, ndio maana Umoja wa

Afrika uliamua kwa makusudi kabisa kuifanya lugha ya Kiswahili kuwa kati ya lugha

rasmi za Umoja huo.

Tanzania ikasisitiza kwa kusema kuwa kila mmoja anafahamu nvugu ya habari. Na

kwa sababu hiyo,Kiswahili kina nafasi ya kutoa mchango mkubwa katika kufikisha

ujumbe na kuwafikia watu wengi kwa wakati mmoja.

“Kiswahili ni lugha muhimu sana kama chombo cha mawasiliano katika Umoja wa

Mataifa, na katika suala zima la ulinzi, usalama na ujenzi wa amani na maendeleo.

Tunatambua changamoto ya ufinyu wa bajeti inayoikabili

wa Mataifa kwa ujumla wake.

kuongeza idadi ya wafanyakazi katika idhaa hiyo hivi karibuni.” Akasisitiza

Ubalozi Mwandamizi

Na kuoongeza kuwa Tanzania inaamini kuwa kwa kuongeza idadi ya waandishi katika

idhaa hiyo, siyo tu kutaboresha kiwango na ubora wa habari zinazotolewa, kuwafikia

watu wengi zaidi, lakini kitawapunguzia mzigo wa kazi wafanyakazi waliopo sasa.

ambayo inawafanyakazi wawili tu,

ikilinganishwa na idhaa nyingine

Idara ya Habari na Umoja

Lakini bado tunaamini kwamba

mtafikiria suala la

IMETOLEWA NA UBALOZI WA TANZANIA KATIKA UMOJA WA MATAIFA

NEW YORK

Deepika Padukone at audio (1)

Deepika Padukone at audio (1)

Cine Clouds: Deepika Padukone is in smiles for Sensation Debut in ...
Talking to media persons on Friday, Deepika {Padukone said, ' it is a great experience to do a movie with Rajini9kanth. I always have a great regard for him. he is a great humanbeing and a great actor. To act in his movie so early in my career is amazing' ... Deepika said, ' though several offers came from South, I was waiting for the right one. Thankfully Raan happened'. She adds that she had seen The Robot several times and wish Raana too rocks. ...
DEEPIKA PADUKONE IN RED SAREE SHOWING BLOUSE HOT SHOW - RACE MP4 ...
All The Rights Are Reserved To The Audio Company. Site Owners Hold No Responsibility For Any Illegal Usage Of The Content. Any Disclaimer Can Contact support@narasareddy003@gmail.com ...

Embed Code For Your Blog,website,Orkut,Facebook,hi5 or etc...

Kanagana Ranavat HOT wallpaper6

Kanagana Ranavat HOT wallpaper6

Top 5000: Amrita Prakash 041
Sms,Bollywood,Hollywood,Actor,Actrees,Bikes,Cars,Fun,Game,Cricket,Wallpaper,hot & sexy bollywood & Hollywood Walllpaper.Best Gupsup On the All Over Internet. Weekly Popular. selena gomez 2. selena gomez 2 From Justin Bieber Kisses ...
Top 5000: Amrita Prakash 047
Sms,Bollywood,Hollywood,Actor,Actrees,Bikes,Cars,Fun,Game,Cricket,Wallpaper,hot & sexy bollywood & Hollywood Walllpaper.Best Gupsup On the All Over Internet. Weekly Popular. selena gomez 2. selena gomez 2 From Justin Bieber Kisses ...

Embed Code For Your Blog,website,Orkut,Facebook,hi5 or etc...

Issa Shivji; " Chama Kiliposhika Hatamu, Viongozi Nao Walishika 'Utamu'!"


Pichani juu nikiwa na Komredi Issa Shivji, Zanzibar, Oktoba, 2006.


WASOMI na wanasiasa mbalimbali wameilaumu Serikali ya CCM kwa kuua Azimio la Arusha na kuanzisha Azimio la Zanzibar lililoua mwelekeo wa taifa. Wakizungumza katika Kongamano la kujadili Azimio la Arusha lililoandaliwa na Chama cha Sauti ya Vijana cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na kufanyika katika chuo hicho jana, wasomi na wanasiasa hao walionyesha nia ya kutaka azimio hilo lirudishwe na kuwa moja ya misingi ya mabadiliko ya Katiba.

Awali akitoa mada kuhusu Azimio la Arusha, Mwenyekiti wa Kigoda cha Kitaaluma cha Mwalimu Nyerere, Profesa Issa Shivji, alisema kuwa dalili za kufa kwa Azimio la Arusha zilianza kujionyesha kabla ya Azimio la Zanzibar.

Profesa Shivji alizitaja dalili hizo kuwa ni pamoja na utaifishwaji wa rasilimali za umma, operesheni vijiji iliyotokea mwanzoni mwa miaka ya 1970, vuguvugu la wafanyakazi na hatua ya CCM kushika hatamu. Profesa Shvji ambaye ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, alisema pamoja na kufa kwa azimio hilo bado mzimu wake utaendelea kusumbua.

“Walijitokeza watu wenye jazba ndani ya chama na kuhoji uhalali wa Serikali kutaifisha hata maduka, vituo vya kuuzia mafuta. Kwa kawaida Serikali haiwezi kumiliki maduka, lakini walitaka kuichanganya tu ili nao wamiliki,” alisema Profesa Shivji. Akizungumzia kuhusu CCM kushika hatamu kama hatua mojawapo iliyovunja Azimio la Arusha, Profesa Shivji alisema kuwa chama hicho ndiyo kilichoshika mwongozo huku Bunge likiwa mtendaji tu.
“Chama kiliposhika hatamu, kilikuwa chama dola, Bunge lilikuwa na kazi ya kutekeleza tu, viongozi nao walishika ‘utamu’,” alisema.
Kuhusu vyama vya siasa, Profesa Shivji alikumbusha kauli ya Mwalimu Julius Nyerere aliyewahi kusema kuwa angependa nchi iwe na vyama viwili vikubwa vya upinzani vinavyofuata mfumo wa ujamaa, lakini mpaka sasa karibu vyama vyote vinafuata ubepari.
“Hadi sasa hakuna hata chama kimoja kinachofuata ujamaa na kuwajali wananchi, vyama vyote vinafuata mrengo wa kulia. Hata wakipata matatizo wanakimbilia kwenye balozi za nchi za kibepari,” alisema.
Kuhusu Azimio la Arusha katika mchakato wa Katiba, Profesa Shivji alisema katiba mpya siyo suluhisho, bali maoni ya wananchi pekee ndiyo yanapaswa kuangaliwa zaidi.
Shivji alitanabaisha: “Katiba mpya siyo mwarobaini au kikombe cha Babu wa Loliondo kinachotibu maradhi yote. Kitu cha muhimu ni mchakato, wananchi watatoa malalamiko yao, manung’uniko kulingana na mahitaji yao.”
Akichangia mjadala huo, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye alikiri umuhimu wa Azimio la Arusha na kuhimiza vijana kujitokeza na kulirudisha.
“Leo huwezi kuzungumza historia ya nchi yetu bila kutaja Azimio la Arusha. Kwa kuwa Profesa Shivji amesema kuwa haiwezekanai kulirudisha ila tunaweza kuirejesha misingi yake, basi vijana tujifunge mikanda na kufanya hivyo ili tutoke hapa tulipo,” alisema Nnauye.
Hata hivyo, akihitimisha kongamano hilo, Profesa Shivji alimkosoa Nape akihoji kuwa CCM itawezaje kulirudisha Azimio la Arusha wakati ilishindwa kulitetea?
“Sijui kama bado Nape yupo, lakini alizungumzia kuhusu kulirudisha azimio. Ni kweli sasa CCM wafikirie kulirudisha azimio. Lakini watalirudishaje wakati walishindwa kulisimamia? Ni swali tu najiuliza,” alisema Profesa Shivji.
Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku alisahihisha dhana iliyojengeka kuwa kulikuwa na Azimio la Zanzibar akisema, “Hakuna Azimio la Zanzibar, ndiyo maana nikasema fanyeni utafiti, siyo mnasimama hapa chuo kikuu na kusema kuwa kulikuwa na Azimio la Zanzibar. Kile kilikuwa ni kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM kilichofanyika Zanzibar,” alisema Butiku.

Alifafanua kuwa kikao hicho kilipokea maombi ya waliokuwa viongozi wa CCM ambao walilalamika kuwa miiko ya Azimio la Arusha ilikuwa inawafanya kuwa ombaomba, ndipo wakaomba masharti yalegezwe.
Hata hivyo, alisema baada ya kuruhusiwa, ndipo matajiri walipopata mwanya wa kujilimbikizia mali.
Butiku alifahamisha kuwa miiko ya Azimio la Arusha ilikuwa migumu mno kuifuata.

“Miiko ya Azimio la Arusha ilikuwa migumu. Nyie tukiwaletea miiko hiyo mtaimudu?” alihoji Butiku.
Naye Balozi Ibrahim Kaduma, aliyewahi kuwa Waziri wakati wa Mwalimu Nyerere, alisisitiza juu ya umuhimu wa maadili ya uongozi kama njia ya kukomesha ufisadi nchini.
Hata hivyo, Kaduma alimkosoa Profesa Shivji katika suala la maadili aliposema kuwa maadili hayafundishwi darasani bali yanaigwa tu.
“Inawezekana kweli miiko ya Azimio la Arusha haikuwa maadili, lakini lengo lake lilikuwa ni kujenga maadili. Kwa hiyo maadili yanafundishika, yakikomaa yanakuwa utamaduni wa nchi. Mmomonyoko wa maadili ndiyo umeleta rushwa, wizi na ufisadi,” alisema Kaduma.

Tofauti na makongamano ya kujadili mchakato wa kupata Katiba mpya yanayofanyika katika ukumbi huo na kutawaliwa na vurugu, kongamano hilo lilitawaliwa na utulivu huku watu wakisikiliza hoja kwa makini. Hili ni kongamano la pili kufanyika chuoni hapo siku za hivi karibuni baada ya lile la katiba mpya lililowafanya washiriki kujadili kwa jazba. CHANZO: MWANANCHI

Kingfisher Calendar 2010 June

Kingfisher Calendar 2010 June

Treks and travels: Shettihalli Church
Few of them were busy emptying the Kingfisher bottles while the ones who consumed all were equally busy in smashing them against rocks. They did not bother us but were creating a nuisance. Somehow, I am seeing a lot of these kinds of ...
abutaqiyuddin: DPPNS, Perihatin Ahli
Motosikal inilah yang menjadi pengangkutannya bagi berulang alik ke pejabat DPPNS di kingfisher. Lajnah Kebajikan dan Perihatin Masyarakat mengucapkan berbanyak terima kasih kepda semua muktamirin yang bermurah hati memberikan sedikit ...

Embed Code For Your Blog,website,Orkut,Facebook,hi5 or etc...

William Randolph Hearsts Mansion

William Randolph Hearsts Mansion

Obama Targets Trump At White House Correspondents' Dinner at Pat ...
On the serious side, Obama took time to thank the troops for their service overseas and noted that the people of the South, especially Alabama, have suffered heart-wrenching losses. “The devastation is unbelievable and it is ...
The Royal Wedding - A Woman's Castle
Princess Kate has won Prince William's heart, and I must admit, she's won over mine, as well. Independent, intelligent, beautiful, and so self-assured it is almost scary. I mean, the whole world has been watching her every move these ...

Embed Code For Your Blog,website,Orkut,Facebook,hi5 or etc...

Wave Gotik Treffen Festival 36

Wave Gotik Treffen Festival 36

Only My Wallpaper...: Wave Gotik Treffen Festival 23
The Hot Wallpaper Blog: Wave Gotik Treffen Festival 17. Wave Gotik Treffen Festival 17. BVB-Fan JÃÆ'Æ'Æ'ÃÆ'‚¼rgen Zielinski zur Meisterschaft: Hurra Borussia! Alles ... Einige Male haben Leipziger sie bereits auf dem Wave Gotik ...
New Bebs In Hollywood And Bollywood...: Wave Gotik Treffen Festival 47
The Hot Wallpaper Blog: Wave Gotik Treffen Festival 17. Wave Gotik Treffen Festival 17. BVB-Fan JÃÆ'Æ'¼rgen Zielinski zur Meisterschaft: Hurra Borussia! Alles ... Einige Male haben Leipziger sie bereits auf dem Wave Gotik Treffen ...

Embed Code For Your Blog,website,Orkut,Facebook,hi5 or etc...

Wave Gotik Treffen Festival 23

Wave Gotik Treffen Festival 23

New Bebs In Hollywood And Bollywood...: Wave Gotik Treffen Festival 47
The Hot Wallpaper Blog: Wave Gotik Treffen Festival 17. Wave Gotik Treffen Festival 17. BVB-Fan JÃÆ'Æ'¼rgen Zielinski zur Meisterschaft: Hurra Borussia! Alles ... Einige Male haben Leipziger sie bereits auf dem Wave Gotik Treffen ...
The Sexy Wallaper Blog: Wave Gotik Treffen Festival 06
The Hot Wallpaper Blog: Wave Gotik Treffen Festival 17. Wave Gotik Treffen Festival 17. BVB-Fan JÃÆ'Æ'¼rgen Zielinski zur Meisterschaft: Hurra Borussia! Alles ... Einige Male haben Leipziger sie bereits auf dem Wave Gotik Treffen ...

Embed Code For Your Blog,website,Orkut,Facebook,hi5 or etc...

Konkona Sen Wallpapers Photos 5

Konkona Sen Wallpapers Photos 5

Latest Updated Wallpapers: Konkona Sen Wallpapers Photos 6
Konkona Sen Wallpapers Photos 2. Hot News: Emraan Jacqueline shoot for some steamy scenes in Murder ... Get latest bollywood movies, bollywood ringtones, bollywood news, celebrity news, celebrity gossips, scandals, ... deepika padukone . ... 3d waterfall background 3d waterfall wallpapers 3d water fall background 3d waterfall image photo pic poster printable wallpaper3d waterfall... priyamani in wedding movie 5. priyamani in wedding movie 5 Kate Middleton will spend her ...
My Sexy Wallpaper Album...: Maaro movie photos 7 .JPG
Konkona Sen Wallpapers Photos 2. Hot News: Emraan Jacqueline shoot for some steamy scenes in Murder ... Get latest bollywood movies, bollywood ringtones, bollywood news, celebrity news, celebrity gossips, scandals, ... deepika padukone ...

Embed Code For Your Blog,website,Orkut,Facebook,hi5 or etc...

Actress with Legs wide open 12

Actress with Legs wide open 12

Hot Actress Priyanka at NSCBI Airport Kolkata ~ XCITEZONE
Level 3. Parent Page. Child page 1. Child page 2. Page with comments; Page with comments disabled. Full wide; arrangement. aciform; broder. Cat A. Cat B; Cat C. Featured; arrangement; aciform. echappee; broder; asmodeus. Uncategorized ...
CrewYard | Blog | Charlie Sheen Photographer for red carpet ...
We can mark a spot on the red carpet for Metro. Carpet begins at 11:30 with True Blood's Joe Manganiello and the cast of MTV's The Hard Times of RJ Berger. Sheen is not expected to arrive until between 12:30 and 1:30am. Thanks! Rosie. Sent from my iPhone.” There will be no pay but do what you ... New Carpet & New Pad and Installed-Same DayPlease call 510-228-7684Color-Any Color- Exception Light Light- Perfer Dark- Blue/Brown/Purple14 wide X 25 longThanksit's NOT ok to . ...

Embed Code For Your Blog,website,Orkut,Facebook,hi5 or etc...

Kanagana Ranavat HOT wallpaper1

Kanagana Ranavat HOT wallpaper1

Thatcars.Com: Kanagana Ranavat HOT wallpaper5
Kanagana-Ranavat-HOT-wallpaper7 Kangana Ranaut is turning 24 today. The once reclusive actress is hogging the limelight off late because of her continuous success at the BO. Her recent film Tanu Weds Manu overcame the world cup fever . ... · Waheeda Sexy Red Saree Hot Blouse Huge profile Navel s · Swathi Verma Sizzling Hot Pics in Blouse and Saree Hot s · Indian Girls Playing Holi Super Hot Pics ...... in bikini (1) tamil actress wallpaper (1) tashan (1) telugu hot ...
Katrina Kaif Sizzling Cute Hot Beautiful Pics in Saree - Katrina ...
Shweta Bhardwaj Bikini Lingeire Photoshoot · Waheeda Sexy Red Saree Hot Blouse Huge profile Navel s · Swathi Verma Sizzling Hot Pics in Blouse and Saree Hot s · Indian Girls Playing Holi Super Hot Pics ...... in bikini (1) tamil actress wallpaper (1) tashan (1) telugu hot actress kaveri jha pictures (1) tennis beauty (1) towel (1) tsunami (1) vajpayee (1) vishal-shekhar (1) wet saree (1) white saree (1) windows 97 (1) wipe out (1) yasho sagar (1) ...

Embed Code For Your Blog,website,Orkut,Facebook,hi5 or etc...

Watatu Raia Mwema Kuwania Tuzo Ya Wanahabari


Pichani ni Johnsson Mbwambo, Mwandishi mwandamizi na Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Raia Mwema.

Raymond Kaminyoge
WAANDISHI habari tisa wa kampuni ya Mwananchi Communications Ltd ni miongoni mwa walioteuliwa kuwania tuzo za Umahiri wa Uandishi wa Habari Tanzania (EJAT).

Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza la Habari Tanzania (MCT), John Mireny alitangaza majina hayo jana jijini Dar es Salaam wakati akizungumza na wanahabari na kufafanua kuwa tuzo hizo zitatolewa Jumanne ijayo ambayo ni siku ya uhuru wa vyombo vya habari duniani.


Mireny alitaja majina ya waandishi wa Mwananchi Communications Ltd kuwa ni Bernard James (utawala bora), Rashid Kagusa (katoni) na Samuel Mwamkinga (katoni).Walioteuliwa kushindana katika kundi la malaria ni Leon Bahati na Lucas Liganga wakati katika kundi la wenye ulemavu mwandishi aliyeteuliwa ni Tumaini Msowoya.

Mireny aliwataja waandishi wengine wa Mwananchi kuwa ni Frolence Majani (habari za jinsia), Lucas Lugakingira (habari za afya) na Sheila Sezzy (habari za mazingira).

Aliwataja washindi walioteuliwa kugombea nafasi za jumla kutoka katika vyombo vingine vya habari kuwa ni Angelo Mwoleka (Star TV), Masoud Masoud (TBC 1), Orton Kiishweko (Daily News), Grace Kiondo (Zenj FM), Dorcas Raymos (Channel 10) na Martin Kuhanga (Radio Tumaini).

Kwa mujibu wa Mireny waandishi wa vyombo vingine vya habari na majina ya vyombo wanakotoka walioteuliwa kuwania nafasi katika makundi mbalimbali ni Nathan Mpangala (ITV), Robert Okanda (Daily News) na Bashir Nkoromo (Uhuru/Mzalendo).

Wengine ni Mbaraka Islam (Raia Mwema), Orton Kiishweko (Daily News), Mbazigwa Hassan (TBC Taifa), Joseph Burra (TBS Taifa) na Sima Bingileki (Iringa Municipal TV).
Wengine waliotajwa ni Margreth Tengule (Star TV), Sam Mahela (ITV), Festo Sikagonamo (ITV), Deogratius Mushi (Daily News) na Dorice Malima (TBC1).

Kaimu katibu mkuu huyo aliwataja waandishi wengine kuwa ni Masoud Masoud (TBC1), Malima Bundala (TBC Taifa), Victoria Patrick (TBC1) na Sabina Wandiba (Changamoto).

Wengine ni Edwin Ndeketela (TBC FM), Tuma Dandi (Radio Mlimani), Samwel Chamlomo (TBC1), Stella Setumbi (TBC Taifa), Dorcas Raymos (Channel 10) Sabina Hading’oka (Uhuru) na Grace Kiondo (Zenj FM).
Wengine ni Amina Mollel (TBC1), Elesia Isabula (TBC Taifa), Rose Mdami (Tumaini TV), Jackson Jackson (Mlimani Radio), Martin Kuhanga (Radio Tumaini) na Dotto Mnyadi (TBC1).

Mireny aliwataja wengine kuwa ni Dorice Kaunda (TBC Taifa), Lina Denis (Channel 10), Aloysia Maneno (TBC Taifa) Elisia Isabula (TBC Taifa), Godfrey Nago (TBC 1), Angela Akilimali (Uhuru FM), Felix Mwakyembe (Raia Mwema) na Musa Twangilo (TBC Taifa).

Waandishi wengine ni Saleh Masoud (Mlimani TV), Emmanuel Chacha (Raia Mwema), Ezekiel Kamanga (Baraka FM Mbeya), Bilal Abdul Azizi ( (The Guardian), Adeladius Makwega (TBC Taifa) Agnes Tuniga (TBC 1) na Happy Mollel (Nipashe)

Aidha, wengine kwa mujibu wa Mireny ni Pius Ntiga (Radio Uhuru), Maliganya Charahani (Star TV), Gervas Hubile (TBC Taifa), Angelo Mwoleka Star TV na Victoria Patrick (TBC Taifa).

Mireny alisema washindi wa tuzo hiyo watatokana na majina yalioteuliwa na watapewa tuzo kwenye sherehe za uhuru wa vyombo vya habari itakayofanyika Jumanne ijayo.
Alisema kazi zilizoshindanishwa ni 437 kutoka katika vyombo mbalimbali vya habari.

Alisema Jaji Mkuu Mstaafu, Barnabas Samatta amekubali kuwa mgeni rasmi kwenye sherehe hizo zitakazofanyika katika ukumbi wa Mlimani City.

“ Wanahabari wote nchini mnaalikwa kuhudhuria sherehe hizo bila kukosa,” alisema Kaimu Katibu Mkuu wa MCT. CHANZO: MWANANCHI

Theneer Viduthi Movie stills 05

Theneer Viduthi Movie stills 05

Theneer Viduthi Movie stills 06 - New Bebs In Hollywood And ...
Theneer Viduthi Movie stills 02. My Sexy Wallpaper Album...: Theneer Viduthi Movie stills 03 mangatha mudhal idam Markandeyan ajith mangatha Lucky Jokers Malayalam Movie Stills 180 movie stills trisha Erandam Ulagam naan Kadhal 2 ...
Bollywood Wallpaper Blog: Theneer Viduthi Movie stills 02
mangatha mudhal idam Markandeyan ajith mangatha Lucky Jokers Malayalam Movie Stills 180 movie stills trisha Erandam Ulagam naan Kadhal 2 Kalyanam aadhi bhagavan haniska vaanam vaanam audio launch Oru Kal Oru Kannadi Theneer Viduthi . ...

Embed Code For Your Blog,website,Orkut,Facebook,hi5 or etc...

Tejashree Latest Photos 2

Tejashree Latest Photos 2

VIVEK DONS THE ROLE OF A PSYCHO VILLAIN | Latest updates in indian ...
Tags: Comedy Actor, Comedy Role, Films, frontpage, Hilly Terrain, languages, Lead Role, Malayalam, Mithun, photo gallery, Psycho Villain, Tamil, Untitled Film. This entry was posted on Sunday, May 1st, 2011 at 2:50 am and is filed under Movie News. You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0 feed. You can skip to the end and leave a response. ... TEJASHREE ASKS FOR A GOOD ROLE When asked Tejashree either she is not removing offers in. ...
South Indian Actress Wallpapers | Hot Pictures | Stills: Kareena ...
Hot,cinestars4u,blogspot,Hot actress,indian actress,malayalam actress,tamil actress,telugu actress,bollywood actress,hollywood actress,south indian actress,sexy actress,pics,pictures,actress photos,images,latest movie stills,wet ...

Embed Code For Your Blog,website,Orkut,Facebook,hi5 or etc...

telugu actress chinmai stills 8

telugu actress chinmai stills 8

Sana Khan 8119
Sana Khan in Aayiram Vilakku Movie 899 ÃÆ'‚· telugu actress chinmai stills 1 ÃÆ'‚· DSC0652 ÃÆ'‚· Surya Latest Photo Gallery 8129 ÃÆ'‚· samvritha sunil gallery 496 07 ÃÆ'‚· Miranda Kerr miranda kerr 13665766 1024 768 ÃÆ'†šÃ‚· helpindi movie8[2] . ... Salman khan ÃÆ'‚· pets steel food 20 ÃÆ'‚· Deepika Padukone22 ÃÆ'‚· asian emo girl1 ÃÆ'‚· 8 ÃÆ'‚· ziggy painting dog ÃÆ'‚· Samvrutha Sunil 13 001 ÃÆ'‚· 70516 R1 122 224lo. ...
South Indian Actress Wallpapers | Hot Pictures | Stills: Kareena ...
Hot,cinestars4u,blogspot,Hot actress,indian actress,malayalam actress,tamil actress,telugu actress,bollywood actress,hollywood actress,south indian actress,sexy actress,pics,pictures,actress photos,images,latest movie stills,wet ...

Embed Code For Your Blog,website,Orkut,Facebook,hi5 or etc...

sambhavi hot stills %283%29

sambhavi hot stills %283%29

Thebebo is a Best Actress Blog.: Deepshikha Yeh Dooriyan Movie 1
Stardust-Magazine-40-Years-Completion-Party-6 ... Tamanna-@-JFW-Magazine-1 (1) ... Models. Poonam Kaur · Shambhavi Sharma · Surveen Chawla · Tamanna · Trisha . ... Embed Code For Your Blog,website,Orkut,Facebook,hi5 or etc. ... Pranitha Hot Navel 6 Sexy Thigh Show stills from Jarasandha movie %283%29 From http://www.thebeb.com/2011/03/pranitha-hot-navel-6-sexy-thigh... anushkaot vaanam movie stills89%29. anushkaot vaanam movie stills89%29 From tamil ...
Richa Gangopadhyay Sexy Romantic Transparent Saree Stills ...
Tamil Telugu and Bollywood Actress Actors Photo Gallery Wallpapers Pictures Movie Stills Video Pics and more. ... Richa+Gangopadhyay+In+Saree+Hot+Romantic+Photo+Stills+%283%29.JPG ...

Embed Code For Your Blog,website,Orkut,Facebook,hi5 or etc...

Spooky Abandoned Restaurant 46

Spooky Abandoned Restaurant 46

Thatcars.Com: Spooky Abandoned Restaurant 02
Spooky Abandoned Restaurant 34. The Bowery Boys: New York City History: A short history of Trump ... FEATURING: Trump Tower marbles, a miracle on 34th Street, and the magic that would have been Television City. ...
Top 5000: Spooky Abandoned Restaurant 19
Spooky Abandoned Restaurant 34. The Bowery Boys: New York City History: A short history of Trump ... FEATURING: Trump Tower marbles, a miracle on 34th Street, and the magic that would have been Television City. ...

Embed Code For Your Blog,website,Orkut,Facebook,hi5 or etc...

ice hotel 21

ice hotel 21

Best Of hollywood and Bollywood - Selena Gomez: ice hotel 20
Travel to United Kingdom: Google Alert - "United Kingdom Mexico" Survival Pod Hotel Holland ... ronin warriors holland It isapr , To sleep in united kingdom Mexico ice hotel play fighting survival , theseaug , intended ... aishwarya rai ...
Thatcars.Com: ice hotel 16
Travel to United Kingdom: Google Alert - "United Kingdom Mexico" Survival Pod Hotel Holland ... ronin warriors holland It isapr , To sleep in united kingdom Mexico ice hotel play fighting survival , theseaug , intended ... aishwarya rai ...

Embed Code For Your Blog,website,Orkut,Facebook,hi5 or etc...

Advertisements Using Animals 36

Advertisements Using Animals 36

The Best Bollywood Dress...: Advertisements Using Animals 20
Advertisements Using Animals 22. Using Videos for On-line Advertising » Voice Of Blogs No Comments » Tags: accessories, advertising, animals, articles, arts, automotive, business, cats, children, computer, cooking, credit, diet, ...
Thatcars.Com: Advertisements Using Animals 38
Advertisements Using Animals 22. Using Videos for On-line Advertising » Voice Of Blogs No Comments » Tags: accessories, advertising, animals, articles, arts, automotive, business, cats, children, computer, cooking, credit, diet, ...

Embed Code For Your Blog,website,Orkut,Facebook,hi5 or etc...

funny demotivational posters 11

funny demotivational posters 11

Best of Bollywood And Hollywood..: funny demotivational posters 23
funny demotivational posters 26 Real Cool Pics: Funny Pictures of Parodical Demotivational PostersFunny Pictures of Parodical Demotivational Posters. A great collection of Funny Pictures of Demotivational Posters are show below. ...
Bollywood Wallpaper Blog: funny demotivational posters 38
funny demotivational posters 26 Real Cool Pics: Funny Pictures of Parodical Demotivational PostersFunny Pictures of Parodical Demotivational Posters. A great collection of Funny Pictures of Demotivational Posters are show below. ...

Embed Code For Your Blog,website,Orkut,Facebook,hi5 or etc...

Mie Klunthung Suroboyo


miekluntung 

Jauh-jauh hari aku dan teman-teman sudah berencana mengisi libur natal kemarin untuk jalan-jalan ke Malang. Kami sudah membayangkan bakal wisata kuliner hingga ke Batu dan Wlingi. Tapi sayangnya secara mendadak karena satu hal acara tersebut terpaksa batal. Kecewa? pasti. Makanya kami pun berpikir mau pergi kemana sebagai gantinya. Akhirnya untuk mengobati sakit hati, kami pun memilih nyanyi-nyanyi bareng saja. Tak peduli suara fals tetap pede abis berlomba nyanyi. Akibat terlalu semangat nyanyi jadi lupa makan. 

Kami pun meluncur ke salah satu foodcourt di Giant Diponegoro dan langsung menuju ke resto Piring Surabaya yang menjual aneka ragam makanan khas Surabaya seperti tahu campur, nasi bebek, soto madura dan lain-lain. Begitu daftar menu diberikan, mataku langsung tertuju pada satu jenis makanan yaitu mi kluntung. Mi kluntung memang termasuk salah satu makanan favoritku kalau aku jajan di Surabaya. Biasanya di hampir semua foodcourt yang ada di Surabaya selalu ada yang menjual mi kluntung ini. Entah sejak kapan nama mi kluntung ini mulai populer. 

Aku juga baru mengetahui namanya semenjak aku tinggal di Surabaya. Sebenarnya secara penampilan mi kluntung ini hampir mirip mi goreng jawa tapi agak berbeda rasa. Begitu mi kluntung pesenanku mulai disajikan aku pun menikmatinya dengan pelan-pelan. Mi yang dipergunakan untuk mi kluntung ini berukuran agak besar dan tebal. Digoreng dengan bumbu bawang merah, bawang putih, cabe merah dan udang yang dihaluskan sehingga membuat citarasanya berbeda dengan mi goreng pada umumnya yang biasanya menggunakan kaldu ayam. Mi kluntung ini menggunakan sayur kubis, sawi dan taoge sama seperti mi goreng jawa. Dalam penyajiannya mi kluntung ini ditaburi irisan telur rebus, suwiran ayam dan bawang goreng sehingga menarik untuk dilihat. Yang boleh tak terlupa mesti disajikan dengan acar mentimun. Rasa mi kluntung asin, gurih dan suedap banget. Mungkin karena menggunakan udang sebagai salah satu bumbunya jadi rasanya jadi mirip mi goreng seafood. Pokoke uenak deh dan layak dicoba.

Beberapa tempat alternatif yang juga menjual mi kluntung maknyus di Surabaya antara lain di jalan Walikota Mustajab (dpn warung Mi Kocok Bandung), mi kluntung pak Mitro di jalan Tanah Merah dan sudah buka cabang di beberapa foodcourt seperti di Sinar Jemur Handayani/Sukomanunggal, mi kluntung pak Atmo yang dijual di resto piring Surabaya di Royal Plaza / Cito / Giant Diponegoro dan masih banyak lagi. Silakan berburu mi kluntung deh.

harryw.blog.perbanas.ac.id

HP Touchpad with Web OS.JPG

HP Touchpad with Web OS.JPG


Embed Code For Your Blog,website,Orkut,Facebook,hi5 or etc...

Tahu Campur Kalasan Surabaya

tahucampurkalasan

Salah satu temanku semasa sekolah yang kini berdomisili di Makasar sering menulis di statusnya di FB jika kangen Tahu Campur. Entah karena apa ia begitu gandrung ama yang namanya Tahu Campur. Menurutnya di Makasar belum ada penjual Tahu Campur seperti yang ia mau. Sebenarnya dulunya aku tak begitu mengenal dan suka makanan bernama Tahu Campur itu. Sebab di kota asalku, Kediri hanya sedikit warung yang menjual Tahu Campur . Kalaupun ada juga pedagang tahu campur keliling yang lewat di perumahan / kampung-kampung. Tetapi saat mulai pindah dan berdomisili di Surabaya mau tak mau aku jadi biasa makan Tahu Campur. Apalagi sekitar awal tahun 2000 an aku pernah  4 tahun kos di jl. Kalasan dimana di bagian depan rumah kos tersebut disewa untuk warung Tahu Campur yaitu Tahu Campur Kalasan. Untuk penggemar Tahu Campur di Surabaya pasti sudah pernah mencobanya sebab Tahu Campur Kalasan milik pak H. Abdul Machfud sangat terkenal. Pelanggannya sangat banyak.

Biasanya semakin malam semakin banyak pembelinya. Dan tak peduli meski hujan pun tetap ramai. Mereka rela duduk berdempet-dempetan di bangku yang disediakan demi menunggu giliran makan tahu campur tersebut.  Tahu Campur buatan pak Dul memang lezat. Perpaduan antara tahu kuning, lento, mi, kikil, daun selada dan kuahnya pas sehingga menggoda selera. Daging dan kikilnya dimasak lama jadi lunak dan mudah dikunyah. Kuahnya yang dibuat dari kaldu daging dengan petis menggunakan bumbu-bumbu yang tepat hingga terasa enak.  Apalagi bila dimakan panas-panas dengan  sambal dan krupuk makin tambah nikmat.

Harga seporsinya juga murah hanya 8 ribu perak. Semenjak ada aturan tak boleh ada pedagang kaki lima di pinggir jalan Kalasan sekarang mereka berjualan di halaman rumah bekas pegawai PJKA tersebut. Sehingga jam bukanya pun bisa lebih lama, kini makanan khas Lamongan ini bisa dinikmati mulai jam 12 siang hingga malam. Pokoknya jangan ngaku penggemar Tahu Campur jika belum mencoba Tahu Campur pak Dul deh.

harryw.blog.perbanas.ac.id

Warung Wader Kincir Ketintang Surabaya

wader01

Entah merupakan acara tahunan ataU tidak, pada hari Minggu lalu ada Festival Gemar Makan Ikan yang digelar di ITC Surabaya. Ratusan anak SD dari berbagai sekolah di Surabaya dikumpulkan disana dan diberi pengarahan agar mulai suka makan ikan sebab ikan itu menyehatkan. Selain itu ibu-ibu PKK seluruh kelurahan di Surabaya juga berlomba memasak berbagai macam menu dengan bahan dasar ikan. Aku lihat ada yang masak pepes ikan, ikan rica-rica, ikan balado dan sebagainya. Pokoknya senang banget aku melihatnya. Padahal sebenarnya aku ga sengaja mampir ke ITC untuk sekedar jalan-jalan dan makan siang di hari libur. Tidak tahunya malah bisa melihat even besar ini. Bicara mengenai ikan, bisa dibilang aku juga menggemarinya. berbagai menu olahan dengan bahan dasar ikan suka kulahap. Salah satu jenis ikan yang lumayan kusuka adalah wader. Tentunya semua sudah tahu seperti apa wader itu, yaitu ikan berukuran kecil mirip teri. Sayangnya keberadaan wader ini hanya musiman saja di Pasar alias agak sulit berburu ikan wader mentah jika kita ingin memasaknya sendiri.


wader03

Untungnya di Surabaya sudah mulai ada beberapa warung yang selalu menyajikan menu andalan wader goreng. Salah satunya adalah warung wader yang berada di kawasan Ketintang Selatan Surabaya. Warung bernama Kedai Kincir-Kincir yang biasa buka dari jam 10 pagi hingga 5 sore ini menyajikan menu utama wader goreng. Wader goreng yang dijualnya digoreng kering dan disajikan dengan sambal, lalap ketimun, kemangi dan kenikir rebus. Sambalnya tidak terlalu pedas jadi cocok untuk orang yang tidak terlalu suka makanan yang pedas. Wader goreng plus lalapan itu ditata dalam sebuah cobek sehingga menarik untuk dilihat. Sebagai pelengkapnya kita bisa memilih nasi putih, nasi uduk atau nasi jagung sesuai selera. Rasanya maknyus deh. Selain wader goreng di warung itu juga menyediakan menu-menu lain seperti berbagai jenis botok (botok patin, udang, tahu tempe dan telur asing) yang rasanya tak kalah enaknya. Juga ada patin bakar dan ayam bakar yang juga lezat.


Sembari makan di warung ini kita kadang bisa melihat kereta api yang melintas sebab lokasinya tepat di samping rel kereta api ketintang barat. karena pelanggannya cukup banyak sekarang mereka sudah membuka cabang di jalan Ketintang barat tepat di samping sungai/rolak Gunungsari. Yang di Ketintang barat ini malah buka sampai malam hari. Jadi tak hanya untuk makan siang, untuk makan malam pun wader goreng tetap cocok untuk disantap.

harryw.blog.perbanas.ac.id

GAdo-Gado Arjuno Surabaya

 gadogadoarjuno01
Menikmati libur akhir pekan, aku dan keluarga memilih jalan-jalan ke Tunjungan Plasa. Tempat yang bikin kami betah berlama-lama tentunya hanya Studio Foorcourt yang terletak di lantai 5 TP 1. Sebab disana kami bisa duduk-duduk sembari mencoba makanan yang jadi pilihan kami. Dari beragam tempat yang ada memang Warung TP yang jadi tempat paling oke sebab di tempat ini menjual berbagai makanan khas Surabaya (mirip resto Piring Surabaya).

Kali ini aku sengaja memilih makanan yang tidak terlalu mengenyangkan yaitu gado-gado. Kebetulan di sana, yang memiliki stan di warung TP adalah gado-gado Arjuno. Gado-gado Arjuno termasuk salah satu dari beberapa warung gado-gado yang terkenal di Surabaya. Awal mulanya mereka membuka warung gado-gadonya di jalan Arjuno makanya dinamakan gado-gado arjuno. Kinipun warung gado-gado tersebut masih tetap berada di sana bahkan sudah lebih besar tempatnya. Seiring dengan bertambahnya pelanggang, mereka juga melebarkan sayap dengan membuka cabang di beberapa foodcourt yang ada di Surabaya. Salahsatunya di warung TP tersebut.

Begitu makanan disajikan, aku langsung perhatikan dulu isinya sebelum menyantapnya. Kulihat ada kentang rebus yang diiris tebal-tebal, kecambah dan kubis rebus, mentimun dan selada mentah serta potongan tahu tempe goreng dan telur rebus. Dibagian atasnya tampak krupuk udang dan belinjo yang menggoda selera untuk segera menyantapnya. Aku mencoba menikmati makan gado-gado ini. Bumbu kuah kacangnya yang sepertinya dari kacang dan santan lumayan meski menurutku kurang halus gerusan kacangnya. Sedangkan menurutku rasanya kurang manis sedikit. Kalau asinnya udah pas. Tapi jika dicampur dan dinikmati pelan-pelan enak juga. Apalagi jika dimakan dengan sambal cabe halus, cukup deh. Bisa jadi makanan pilihan jika berkunjung ke Surabaya.

harryw.blog.perbanas.ac.id

Rujak Cingur Suroboyo

 rujakcingur02
Pepatah I Hate Monday mesti diganti I Like Monday. Meski weekend kemarin aku tidak libur dan mesti tugas liputan sampai malam tapi pagi ini aku coba menikmatinya. Kebetulan hari Senin ini aku tidak punya janji ke tempat relasiku. Makanya kuhabiskan waktu di warnet sambil membereskan pekerjaan kantor yang harus selesai hari ini. Maklum deadline sudah mepet nih. Sembari mengirim email ke kantor kusempatkan buka facebook dan kulihat status salah seorang teman sedang tugas di Surabaya. Kuingatkan dia untuk tidak melewatkan wisata kuliner di Surabaya. Ia pun memintaku memberinya referensi beberapa tempat makan enak di Surabaya. Salah satu yang kusebutkan adalah Rujak.

Rujak Cingur bisa dibilang memang salah satu makanan khas di Surabaya. Makanan berbahan petis ini gampang dicari di berbagai pelosok kota Surabaya. Aku masih ingat saat pertama pindah ke kawasan perumahan Pondok Candra Indah, ada penjual rujak cingur keliling yang biasa lewat. Perempuan paro baya itu biasa menyunggi barang dagangannya di atas kepalanya. Jika ada yang membeli ia langsung menurunkannya dan duduk di dingklik (kursi kecil) yang juga dibawanya. Ia akan mengulek rujak cingur dengan cabe berdasar pesanan. Rasanya uenak.

Umumnya pedagang rujak cingur keliling ini orang madura. Setahun lalu kulihat ia sudah ganti mendorong barang dagangan dalam gerobak dorong. Tapi belakangan aku sudah jarang melihatnya. Mungkin karena aku jarang berada di rumah siang hari sebab ia biasanya lewat antara jam 3-4 sore. Tetapi kadang sedang pingin, aku suka hunting rujak cingur yang enak. Bila Anda sedang berada di Surabaya, bisa tinggal memilih warung rujak cingur yang menurut Anda paling enak. Mau rujak cingur termahal, ada di jl. Ahmad Jais. Terus terang meski dulu semasa aku masih tinggal di Kalasan kerap lewat jalan Ahmad Jais kalo berangkat ke kantorku yang lama, tetapi aku belum pernah mencobanya.

Dengar-dengar sekarang harganya sekitar 50 ribu. Rujak Cingur Ahmad Jais porsinya besar dan bisa dimakan lebih dari 1 orang seporsinya. Rasanya katanya uenak banget dan jadi langganan pejabat hingga artis. Mau yang lain, Rujak Cingung Embong Sawo. Dulu aku pernah makan rujak itu saat warungnya masi berlokasi di dekat lapangan Tenis jl. Embong Sawo. Tapi sepertinya sekarang sudah pindah ke depan Grahadi/dekat patung joko dolog. Lalu ada lagi Rujak Cingur Bok Mariyati, jalan Jolotundo.

rujakcingur
Keduanya sama maknyusnya, tergantung selera. Kalau aku sendiri paling suka makan rujak Delta. Warung rujak Delta yang berada di Surabaya Plasa/dulunya Delta Plaza sangat terkenal. Ia menjual berbagai menu makanan khas Sbym seperti gado-gado, lontong cap gomek, tahu campur dan-lain. Tapi Rujak cingurnya yang paling banyak digemari. Rujak Cingur Delta, disajikan dengan bumbu petis yang banyak dan kental. Boleh milih matengan, buah saja  atau campur. Biasanya jika suka ditambahi mi kuning. Tapi karena tak suka, aku selalu bilang tanpa mi. Bila kita ngomong pedas maka siap-siap kepedesan karena standar pedas di sini sama dengan pedas banget. Dulu seporsinya sekitar 15 ribu rupiah. Entah sekarang sudah naik harganya atau belum. Tapi yang penting Anda bakal puas.

Oya, jika Anda ambil kerupuk yang disajikan di depan Anda , itu ada harga sendiri lho. hehehe. Jika kepedesan Anda bisa minum berbagai macam minuman yang dijual di warung ini, ada es jeruk, es dawet, es sirup, es belewah dan sebagainya. Ditanggung langsung sueger. Sebenarnya Anda bisa mencoba membuat rujak cingur sendiri. Berikut ini aku tulis resep rujak cingur. Silakan mencoba deh.

harryw.blog.perbanas.ac.id

Wave Gotik Treffen Festival 06

Wave Gotik Treffen Festival 06

Thatcars.Com: Wave Gotik Treffen Festival 09
The Hot Wallpaper Blog: Wave Gotik Treffen Festival 17. Wave Gotik Treffen Festival 17. BVB-Fan JÃÆ'Æ'¼rgen Zielinski zur Meisterschaft: Hurra Borussia! Alles ... Einige Male haben Leipziger sie bereits auf dem Wave Gotik Treffen ...
Best of Bollywood And Hollywood..: Wave Gotik Treffen Festival 10
The Hot Wallpaper Blog: Wave Gotik Treffen Festival 17. Wave Gotik Treffen Festival 17. BVB-Fan JÃÆ'¼rgen Zielinski zur Meisterschaft: Hurra Borussia! Alles ... Einige Male haben Leipziger sie bereits auf dem Wave Gotik Treffen sehen ...

Embed Code For Your Blog,website,Orkut,Facebook,hi5 or etc...

Jangkang di Warung Mejoyo Surabaya

jangkang

Apakah Anda sudah pernah tahu seperti apa jangkang dan pernah memakannya? Mungkin sebagian berkata iya tetapi pasti sebagian bilang tidak. Sebab jangkang memang bukan makanan yang umum bisa diperoleh di sembarang kota. Hewan air ini sepertinya ada pada musim-musim tertentu. Bila sedang musim, jangkang ini banyak dijual di pasar-pasar tradisional di Surabaya. Bahkan sesekali tampak pula di beberapa swalayan.  Jangkang ini sebenarnya bentuknya mirip kepiting kecil yang masih muda. Mungkin bisa dibilang seperti yuyu. Warnanya hitam, lunak dan berukuran mini.

Jangkang ini bukan binatang laut tetapi sungai. Biasanya jangkang ini dimasak dalam bentuk pepes ataupun digoreng dengan telur/dadar jangkang. Kita bisa membeli pepes atau dadar jangkang ini di beberapa warung makan di Surabaya. Aku biasa makan dadar jangkang dan pepes jangkang ini bila kebetulan sarapan di warung Mejoyo Rungkut. Rasa dadar jangkang gurih dan krius krius. Hal ini karena perpaduan antara telur, jangkang, tepung terigu dan bumbu-bumbu yang meresap membuat dadar jangkang ini terasa sedap. Sedangkan untuk pepes jangkang dimasak dengan menggunakan bumbu seperti kemiri, bawang putih, dan cabe merah. Takkalah rasanya dengan pepes udang. Uenak pol.

Kini bila Anda ingin makan jangkang, selain di warung-warung, Anda bisa membeli pepes jangkang di resto Ria Corner yang ada di Studio Foodcourt Tunjungan Plasa. Harganya tak mahal sebungkus pepes jangkang hanya sekitar 4000 rupiah. Untuk penggemar masak memasak, tentu lebih menyenangkan bila membeli jangkang mentah dan memasaknya sendiri. Sebab dengan begitu jangkang ini bisa dikreasikan dalam berbagai bentuk masakan yang lain. Tentunya bakal lebih lezat dan menarik.

harryw.blog.perbanas.ac.id